Friday, July 26, 2013

VIPENGERE VYA MAOMBI YA UGONJWA USIOJULIKANA.

Maandiko:  Kumb. 1:7-15, 3Yohana 2, Isaya 10:27

VIPENGERE VYA MAOMBI:


  •     Damu ya Yesu (x7), katika jina la Yesu (x7), Moto wa Roho Mtakatifu (x3).
  •    Yehova Rafa, ninakubariki katika jina la Yesu.
  •   (Weka mikono juu ya sehemu husika) Kila kilichopandikizwa na mwovu au wakala wake, ninaamru kwa mamlaka ya jina la Yesu kiteketezwa na moto wa Roho Mtakatifu.
  •  Kila mbegu ya ugonjwa mwilini mwangu, ninakiamru ife katika jina la Yesu (x3)
  •   Chochote kinachotembeatembea mwilini mwangu ninakiamru kiondoke katika jina la Yesu (x2)
  •  Ewe pepo ulietumwa kwangu, ninakung’oa  na kukuteketeza kwa moto wa Roho Mtakatifu, katika jina la Yesu.
  •  Sikia ewe ugonjwa usiyejulikana imeandikwa kuwa “Kwa kupigwa kwake mimi nimepona” Hivyo basi, ninakuamuru uachie mwili wangu (toka katika jina la Yesu) (x3).
  •  Asante Bwana kwa kuwa umenipanya, katika jina la Yesu.
       Amina.