Maandiko: Kumb. 1:7-15, 3Yohana 2, Isaya 10:27
VIPENGERE
VYA MAOMBI:
- Damu ya Yesu (x7), katika jina la Yesu (x7), Moto wa Roho Mtakatifu (x3).
- Yehova Rafa, ninakubariki katika jina la Yesu.
- (Weka mikono juu ya sehemu husika) Kila kilichopandikizwa na mwovu au wakala wake, ninaamru kwa mamlaka ya jina la Yesu kiteketezwa na moto wa Roho Mtakatifu.
- Kila mbegu ya ugonjwa mwilini mwangu, ninakiamru ife katika jina la Yesu (x3)
- Chochote kinachotembeatembea mwilini mwangu ninakiamru kiondoke katika jina la Yesu (x2)
- Ewe pepo ulietumwa kwangu, ninakung’oa na kukuteketeza kwa moto wa Roho Mtakatifu, katika jina la Yesu.
- Sikia ewe ugonjwa usiyejulikana imeandikwa kuwa “Kwa kupigwa kwake mimi nimepona” Hivyo basi, ninakuamuru uachie mwili wangu (toka katika jina la Yesu) (x3).
- Asante Bwana kwa kuwa umenipanya, katika jina la Yesu.
Amina.