Maandiko: Mithali 18:22, Zaburi 37:5
- Moto wa roho mtakatifi (x3) katika jina la Yesu (x3)
- Mungu uishiye mahari pa juu na Baba wa milele, ninakusifu na kukuabudu.
- Imeandikwa kuwa “Apataye mke (mume) apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA “ Hivyo basi nadai upendeleo katika yote ninayofanya, katika jina la Yesu.
- Bwana, ninakuomba utufanyie njia mimi na mwenzi wangu, Tupatie fedha na usaidizi wa kutosha wenye kuleta mafanikio katika harusi yetu, katika jina la Yesu (x3)
- Ninamzamisha mke (Mume) wangu mtarajiwa kwenye damu ya Yesu
- Ninampiga upofu shetani na maajenti wake ili wasimwone, katika jina la Yesu (x2)
- Tukinge na ajari katika njia zote tutakazoziendea, katika jina la Yesu.
- Bwana, tjalie upendeleo wa Kiungu kwa kila tutakaemwendea, katika jina la Yesu.
- Ninakuja kinyume na Falme na mamlaka zote zilizo kinyume na harusi yetu, katika jina la Yesu.
- Ninavuruga kila mpango wa Yule mwovu ulioandaliwa kuharibu ndoa yetu, katika jina la Yesu.
- Ninafunga kila pepo lililoandaliwa kupinga ndoa yetu, katika jina la Yesu.
- Baba, ifanye harusi yetu kuwa yenye mafanikio, pokea utukufu katika jina la Yesu.
Amina.
ANGALIZO: Funga kwa siku 2, kuanzia saa 12 alfajiri
hadi 12 jioni huku ukiomba maombi haya.