Shughuli ya kungoa Visiki ndani ya
Radio Safina yazidi kuendelea kila siku ya Alhamisi ndani ya Madhabau ya
Radio Safina, ndugu wana wa Mungu ebu jongeeni ili tuweze kushugulikia Visiki vinavyozitesa nafsi zetu na kusababisha matatizo ndani ya maisha yetu.......!
Njooni nyote tungoeni visiki......