Monday, April 16, 2012

Je unajua yakuwa Madhabau inavyofunga nafsi zetu..!

Ndugu mpendwa mwana wa Mungu Jumanne hii ya Terehe 17/April sio siku ya kukosa kwenye ukumbi wa Radio Safina kwasababu ni siku ya kwenda kuvunja Madhabau zote zilizo shikiria Nafsi zetu ivyo basi njooni  nyote ili tuweze kukomboa Nafsi ....