Ndugu wana wa Mungu mnakaribishwa nyote kuja kutoa shukrani zako kwa Yesu ndani ya Madhabau ya Radio Safina kwa kuwa kutukomboa kwa msalaba wake mtakatifu, hivyo basi mnakaribishwa nyote siku ya Jumanne, ili kuzidi kumuabudu Yesu kwa kuwa yeye ndo Bwana wa Mabwana.
Usisahau kuja na kitambaa chako cheupe kwa ajili ya kumtukuza Yesu…….