Saturday, February 23, 2013

Viwanja vya Sheik Amri Abeid leo vya fulika..

Bwana Yesu Asifiwe.

Kwa wale wote waliofatilia kipindi chetu siku ya leo ndani ya Viwanja vya Sheik Amri Abeid mjini Arusha leo siku ya tarehe 23/02/2013. Kwa maombi ya Toba kila mtu amechota baraka za kutosha, na tunaimani ya kuwa wale wote waliotufatilia kwa njia ya Radio kupitia Mtandao tunaimani nanyi Mmebarikiwa na Toba yenu Mungu kaipokea kuweni na Imani nazidi kufatilia vipindi vyetu vinvyoendelea.

Amina.